Mrembo amependeza sana

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Sijui ni mgongo wazi, au ni staili ya vazi lake lenye nakshi za kipepeo, au .....


 

Attachments

  • mgongo.jpg
    41.6 KB · Views: 810
Kapendeza lakini huyu mwisho wake Mikumi, akitia mguu Mfundi hachezi mbali na koti....🙂
 
Sijaelewa!!sasa kapendeza nini??au kuwa tu mgongo wazi ndo kupendeza.labda shepu
 
mbona mgongo uan weusi weusi flani hivi kama mabaka?
 
Vazi gani hilo unaweza kupita mbele ya mkweo ..kama sio mambo ya kusingizia baba mkwe ananitongoza :confused2:
 
Sijui ni mgongo wazi, au ni staili ya vazi lake lenye nakshi za kipepeo, au .....



Na huyo mwanaume sijui wa kihindi au kizungu aliyekaa pembeni yake ni nani? Na wako wapi? Huyu dada atakuwa ni CD nini?
 
mbona mgongo uan weusi weusi flani hivi kama mabaka?

Inaonyesha ngozi yake haijaadhirika na madawa huo ni weusi wa asili unaelekea kwenye ubuluu huvi flash ya camera ndio imekufanya uone ni mabakamabaka. Mie nimependa livyo mechisha maana mpaka kufuli jeusi :glasses-nerdy:
 
Inaonyesha ngozi yake haijaadhirika na madawa huo ni weusi wa asili unaelekea kwenye ubuluu huvi flash ya camera ndio imekufanya uone ni mabakamabaka. Mie nimependa livyo mechisha maana mpaka kufuli jeusi :glasses-nerdy:

Hapo sio kutoridhika na madawa, huwa hausuguliwi vizuri, huo weusi ni uchafu uliolimbikizwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…