Mrembo anaona haya Jamani


Wewe unazo mpaka umuulize mwenzio hivyo?
 
Kuna dem mmoja hivi alinambia kuwa jamaa ANASUKUMWA TOPE.
sijajua undani wake labda kama kuna mtu anafahamu chochote kuhusu huyu just atumwagie hapa

Mmh! this is a serious allegation! hivi hakuna mtu wakumtetea ben hapa jamvini?
 
Nyani usitetee ujinga, ile nguo ni fupi, i wish huyo angekuwa dadako uso wako ungekushupaa kama muuza mkaa ila kwa sababu humjui you can comment whatever.

jamani wadada tujiheshimu, kwenda sehemu za starehe umevaa upupu ni kujidhalilisha wewe mwenyewe, siyo familia wala wanaokuzunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…