Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

Acha kumuingiza Mola wako kwenye ujinga huu!!Mbona unakimbilia kulia lia!!JF itabaki kuwa JF miaka mia!sasa hata wewe ni member huoni kuwa upo katika kundi la wajinga wa JF!
 
Acha kumuingiza Mola wako kwenye ujinga huu!!Mbona unakimbilia kulia lia!!JF itabaki kuwa JF miaka mia!sasa hata wewe ni member huoni kuwa upo katika kundi la wajinga wa JF!

Lol, unatafuta followers kinguvu hivyo.
Ili upate a lesson lazima nikufuate ulipo, kwani hujuo km fimbovya mbali haiui nyoka?
Mm sio km ww unamsema Mange pembeni. Kwenye website yake si unaingia kule na unaota sometimes followers wake wanampa makavu akikosea.
Kuna ww usiyetaka kukosolewa, eti nakimbilia Mungu. Yes, I do, Matola. Bila Mungu si mm si chochote sijui ww mwenzangu
 

Actually, ni ww Ms. Lincoln na si Matola.
Naona umejiumba mwenzetu
 
Kuna mtu anajijibu mwenyeweee hhhhhhhaaaaaaa dawa imeanza kuingiaaaa cc Matola
 
Last edited by a moderator:
Actually, ni ww Ms. Lincoln na si Matola.
Naona umejiumba mwenzetu
Pole mpaka unajiqoute na kuchanganya majina!!Kila mtu anamtegemea Mungu haswaa yule aloutambua uwepo wake!!unatukana afu unamtaja Mungu!!Kwenye misuto yenu Mungu hausiki!!He is SACRED uwe mwoga na hilo jina sio la mchezo kulitaja kila ujisikiapo sio shoga yako ni MTAKATIFU,muumbaji sio anko wako wala wa kwako pekee kujifanya unamtumia kama shield ya kutoambiwa ukweli!!Ni sawa na Mangeyakimshinda anapenda kusema Mungu atawalaani!!For what!!He is bussy rescuing souls na kufanya mambo ya maana sio kwenye uchakubimbi wako unamwingiza sio wa kuchezewa ogopa sana vibao vyake!!
 

Natafuta followers kwani nataka kufungua kanisa!!Nipishe huko usinitishe,unifate wapi?Ntakupeleka wapi wewe!!Tatizo roho ya chuki,mtu akidiffer na fikra zako unakimbilia kumtishia na kumtusi!kwani umeambiwa kwenye blog yake simwambii!!Ebu ntolee wehu wako hapa!!Ukweli umeujua,chuki haijengi!!Msimlishe sumu dada wa watu,yeye halali usiku kisa anapanga mashambulizi nyie mnachekelea tu!
 
mange kabla ya yote hebu tupia picha ya mama ako mzazi kwanza hapa ndo mengine yafate
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…