Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

Uwiiiiii!Mbona anamchamba Linda ana watoto wanne kila mtu na baba yake?Huyu sio mzima kweli.
Shoga tuwekee basi hizo screen shots kama jana umenikosha kweli yani.
 
Hahahaaaaa leo umeua bendi.Yaani nacheka hadi machozi!

Mama yake mzazi alikuwa house girl wa kwa babake ndo alikopata mimba ya mange yani mamake hakuwa mke alikuwa mfanyakazi wa ndani sasa baba aiunajua mzee wa toto akawa anapiga housegirl baada ya mama mwenye nyumba kujua akafukuzwa kazi na hiyo mimba ndo alitoka mange na mamake alikuwa anaishi kama sio manzese ni tandale uswahilini hata gari halipiti, mange mamake anafariki alikuwa dubai hana hata hela ya kurudi kina kiki na mwamvita ndo walimkatia tiketi na sasa hivi anawatukana, alikuwa hataki watu waende msibani eti kwa sababu anaishi uswahilini gari halifiki huyu mtu mzima kweli? mamake amekaa ndani siku tatu bila kumpeleja mochwari mpaka akaanza kutoa harufu yani huyu mange labda tanzania nzima imuombee ndo atapona anahitaji kumuomba mamake msamaha aende kaburini aache upumbavu
 

Nimejisikia uchungu sana kwa kweli!Huyu ana laana ya mama yake sio bure.Imeniuma si utani.
Sifa zikamfanya azuie watu kuenda msibani?la haula!
Mbona mimi nasikia baba yake sio mzee kimambi aliyefumuliwa marinda?
 
Nimejisikia uchungu sana kwa kweli!Huyu ana laana ya mama yake sio bure.Imeniuma si utani.
Sifa zikamfanya azuie watu kuenda msibani?la haula!
Mbona mimi nasikia baba yake sio mzee kimambi aliyefumuliwa marinda?

Sio mtu huyo dada mzee kimambi ni baba yake na mange mie nina details za familia yake nzima maana mke wangu ni family friend nao
 

Duuuu hata sina neno ,umaarufu huu
 
Sio mtu huyo dada mzee kimambi ni baba yake na mange mie nina details za familia yake nzima maana mke wangu ni family friend nao

Aisee!Basi mimi ndio nitakua sikuelewa vizuri.
Kwanini hawapendi ndugu zake upande wa mama ana kazi ya kujipendekeza kwa akina Dr.Mwele?
Je ni kweli kua Dr. Mwele alikasirika kwenye kitchen party ya mange akataka kuondoka watu wakamuomba?Kwanini?
 

Duuu Dunia ina watu hakika....so sad
 
Sio mtu huyo dada mzee kimambi ni baba yake na mange mie nina details za familia yake nzima maana mke wangu ni family friend nao

Sijawah kumsikia akimuongelea mama yake ye ni baba yake tu,,halaf anajipendekeza kwa wema huyoo sijapata ona
 
Sijawah kumsikia akimuongelea mama yake ye ni baba yake tu,,halaf anajipendekeza kwa wema huyoo sijapata ona


Aisee kumbee
 
Aisee!Basi mimi ndio nitakua sikuelewa vizuri.
Kwanini hawapendi ndugu zake upande wa mama ana kazi ya kujipendekeza kwa akina Dr.Mwele?
Je ni kweli kua Dr. Mwele alikasirika kwenye kitchen party ya mange akataka kuondoka watu wakamuomba?Kwanini?

Dr mwele ni mtu ana heshima sana hapendi ujinga ujinga ameisha mwambia kila aina ya maneno yani kwa ufupi hakuna mtu hajaongea na mange kuhusu anavyotukana watu mtandaoni na siku ya birthday mzee malecela mwaka juzi alienda na mkamera wake walimwambia hakuna kupiga picha hapa akabaki kujipiga picha yeye na dr mwele hawataki kumsikia ndo maana yeye na lemutuz ni chui na paka
 

Hahahaaaa aisee leo babampigi umenifurahisha sana.
Alitaka apige mapicha akayaweke kwenye blog yake.Tena angemuita babu kabisa maana yule naye?
Kumbe ndio maana hampendi best angu Le Mutuz eeh?
Kweli angemuweka kwenye blog yake mzee wa watu angechafuliwa bure!
 
Last edited by a moderator:

dah wanaume mnaona madhara ya kutotumia mpira?
hahaaaaaaaae hatariiiii
kumbeeeeee ndo mana mwamy akamuonea huruma akampa mkataba voda na bado analeta jeuri
nikisema ana laana ya mama ake pilipili anantukana dah
 

mange hana furaha na maisha yake kwa nionavyo na akili zangu ndogo
japo anapretend kua happy kwa jinsi ilivyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…