Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Kashikwa pabaya ametangaza vita na nargis! Pathetic kabayaaaaa
 
Mange anakosea na linda pia...ila anayeumbuka zaidi ni mange afu hawez ugomvi anadragg watu kaguswa kakake bongebnyanya kapanic sana....linda bwana eti lile pasoso lina kibamia...alisema kinje ana kibamia na pesa hanazo sasa yy anabakibkusema kuwa kibamia anamwomba leyla amwonyeshe kazi...anajisemea mwenyewe.
 
Kashikwa pabaya ametangaza vita na nargis! Pathetic kabayaaaaa

kamuweka mama ake imebidi akubali kusanda leo wameweka kaburi la mama ake dah utasema msitu wakati wenzie mshahara wangu wa mwanzo huo wa ualimu nilijengea kaburi tena na tiles juu
ye tajiri anaishia kunnua nguo kwenda kuwapa kina koku daaah
kweli pesa akili
 

Mange anaandaa maisha magumu ya wanawe; linda naye anakosea ila hapa namwongelea mange mwenye maadui tz yote! Wadada wote wa mjini adui zake, shoga zake alokua nao wote adui.....sasa nimejua kuwa
1.Mange ana ukichaa
2.alicheat
3.goldigger hakumpenda lance kwa dhati
4.ananuka maku
5.aliliwa kato
 

We unasema kujengea kwa mshahara, watu tumejengea kwa boom....halafu yeye milionea mvaa LV original na CL anashindwaa..

Ama kweli asompenda mama hana maana
 
We unasema kujengea kwa mshahara, watu tumejengea kwa boom....halafu yeye milionea mvaa LV original na CL anashindwaa..

Ama kweli asompenda mama hana maana

neno kuntu hilii
tutamsema mpaka atabadilika tu
alivyo mnafki leo ndo anajifanya kumfagilia mama ake lloooh siku zote alikua wapi?
 
neno kuntu hilii
tutamsema mpaka atabadilika tu
alivyo mnafki leo ndo anajifanya kumfagilia mama ake lloooh siku zote alikua wapi?

Hahahaaa mpaka watu wachimbue picha mafichoni ndo anakumbuka ana mama....hahahaaa
 
Hee nilijua hii kitu imeisha ngoja niwahi instagram kumbe vita.inaendelea mweee umbea napenda ila im a little ashed of myself the amouny of time i spent kwenye huu ubuy mweeeee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…