Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
yani kuna maisha baada ya kazi ht mange pia nae ana mapungufu
but lara ushauri nipe baadae kwanza nafkria as human being kwa sasa try to wear manges shoes kwa ile picha nimejskia vbaya sana nisiwe mnafki
just tell me whatever u feel

We mimi nikianzisha post hapa mumeo shoga, sitoi evidence yoyote itakuuma au utaniona mwehu tu?
 
Kwa nliyayaona ig jion hii ngachoka...kifuatacho ITV .....andaa popcorn na pepsi barid na miwani ya mbaooo...du! So sad

Kifatacho Lindapapa kuvuliwa nguo na kujinyongaaaa! Mie namngoja mngazija mwenzangu achambwe.
 
We mimi nikianzisha post hapa mumeo shoga, sitoi evidence yoyote itakuuma au utaniona mwehu tu?
inategemea km kweli ntakataa kwa nje ndani naumia km uongo pia
ila wanaoniangalia mpaka waje kuprove itakua too late
umeenda ig?
kwa linda?
 
inategemea km kweli ntakataa kwa nje ndani naumia km uongo pia
ila wanaoniangalia mpaka waje kuprove itakua too late
umeenda ig?
kwa linda?

Mi nasikitika sanaa kuona ticha mzima unachotwa akili na mtu hata darasani hajakaaa! We si ulifundishwa tofauti ya fact, theory, na speculations? Sometime tumia shule yako kwenye majungu. Mi lindapapa simlaumu cos shule hajaenda hawezi kujua hizi tofauti. Pale katoa tu speculations ambazo hazina ground yoyote. Angeweka marriage certificate au picha wana kiss or anything lakini sio kuropoka tu. Mtu na akili zangu kama mie hawezi kunipata kirahisi hivo. Na pale mlio amini mijinga tu.
 
Sio Kama namtetea mange ila mume wake anawahusu nini.wamwache kaka wa watu jamani.i feel sorry for the men.Imagine kaka ako kamwoa mange .
 

kama unavyomiamini mange(km una unamuamini maana sina hakka)ndo mie ninavyomuamini linda pia
na kingine kusoma kuelewa kukesha mbwembwe tu
mtu mange msomi wa masters yuko vile dah hatari sana na inawezekana mim(mwl),wewe na mange wote wajinga mi haya kwangu naona km na shule zetu
mimi kwa kumuamini linda mjinga
mange kubishana na kumchamba linda na wote wanaomsapoti
wewe kumtetea mange
 
Nijisafishe ya nini.hamna kitu Kibaya kumzushia mtu lesbian au gay ,kumzushia mtu kifo,kumtukana mtu Mzazi .lara una mtoto ? .life is easy and simple relax and eat and shop and watch tv .Ingia online shopping .Huyo mange anazidi kuwa na maadui ambao hawahitaji.Ningekuwa mange Linda na wanaolumbana mtandaoni wange shutdown Internet activities for a while .
 

Kweli sisi ni asili ya unguja Pemba .pilau biriani mdundiko na maji ya madafu ndio sultan aliyotuachia.kutwaaaaaaa keleleeeee tena na Kelele za USA hata vitumbua vya iliki hamna .tupo bado kwenye mkate wa siha.ugomvi ukianza mtaa mzima.Turudi tanganyika kwenye sun vita na visheti
 
hhhhhaaaaaaa
kwa kweli umeongea vizuri
yanyoendelea ni utoto na ujinga maana alichofanya linda leo sijui kesho mange atajibu nini
 
hahaaaa ndo mimi shosti wala sina habareeee nimechambwa ila alochokiweka linda ig mda huu nimejiskia vbaya na km ni kweli bas mi namuonea huruma mange km mwanamke wa kitanzania haki ya mama tena na napunguza mdomo kweli kabisa
Hivi unajua photo shoot? ?

Jaribu kusoma vitabu na kifanya research hata masaa mawili kwa wk jamani. Matuongezea ujinga watoto wetu ikiwa walimu wanachotw akili hivi na wanaamini, sijui wanafunzi ndio inakuwaje
 
hhhhhaaaaaaa

kwa kweli umeongea vizuri
yanyoendelea ni utoto na ujinga maana alichofanya linda leo sijui kesho mange atajibu nini

Leo ndio unajua kuna vibaya, subirini zamu yenu mana mwendawazimu hachagui
 
Hivi unajua photo shoot? ?

Jaribu kusoma vitabu na kifanya research hata masaa mawili kwa wk jamani. Matuongezea ujinga watoto wetu ikiwa walimu wanachotw akili hivi na wanaamini, sijui wanafunzi ndio inakuwaje

dah umenikomalia km mi ndo nilikwambia usiende kuzuru kaburi la mam ako vile
 
Leo ndio unajua kuna vibaya, subirini zamu yenu mana mwendawazimu hachagui

heeee vp kwani bibi weweee!!haya na aje atuchambee
hivi mtu anakuchamba anonymuos hyo akili matope
mbona umenikomalia sana shosti
haya aje achambeee tani yake sipungukiwi na chochote then unaeza kuta siku hyo sipo jf
ungejuaaaa hahaaaaaa
 
heeee vp kwani bibi weweee!!haya na aje atuchambee
hivi mtu anakuchamba anonymuos hyo akili matope
mbona umenikomalia sana shosti
haya aje achambeee tani yake sipungukiwi na chochote then unaeza kuta siku hyo sipo jf
ungejuaaaa hahaaaaaa

Nakuambia ukweli dada, kuchamba kwingi...
 
Leo ndio unajua kuna vibaya, subirini zamu yenu mana mwendawazimu hachagui
yani usiongee unavyojiskia inaonekana tunajikosha dah kazi kwelikweli ungenambia pale nilipokuambia nafuta comment bas
 
yani usiongee unavyojiskia inaonekana tunajikosha dah kazi kwelikweli ungenambia pale nilipokuambia nafuta comment bas
geniveros kama hujajua nw wanakuattack wewe personally....wanataka wakubully useme nao.Sijaona baya ulilofanya zaidi ya kuelezea hisia zako na jinsi unavokerwa na tabia ya kubully as for kichambo huyo zels kasema Mwendawazimu hachagui, sio ww ulosema ivo.Kachamba shoga zake seuze anony!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…