Huko mtaenda kujihaibisha tu, nyie mmezoea kuchapa goli moja tu kisha kulala mpaka asubuhi na kukoroma kama hamna akili timamu. Mademu wa mikoani wamezoea magoli zaidi ya 5, mtaweza wapi? Nawasihi msiende kujihaibisha kwani mtakufa vibudu…..mademu wa mkoani kama hamuwafikishi kileleni wanawaua, shauri lenu.