Mrembo Kweli kabla hujafa hujaumbika..

Mrembo Kweli kabla hujafa hujaumbika..

majebsmafuru

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
454
Reaction score
636
Na tusikie dada/mwanamke akilialia eti hana bwana au maisha magumu au sijuwi ni kule...
Kuna wenzake wana shida kule yeye lakini wana enjoy life tu, pamoja na majanga ya kutisha kimaisha..
Kutanana na :-
Legless Model, Kanya Sesser

indexv.jpg
indexq.jpg
index.jpg
index2.jpg
imagesb.jpg
images1.jpg
imagesn.jpg
images.jpg
indexw.jpg
imagesvv.jpg
imagesv.jpg
imagesm.jpg
imagesbb.jpg
images1.jpg
 
Huyu amezaliwa bila miguu huko Thailand ..ni mlemavu wa kuzaliwa sasa hiyo picha inayoonyesha miguu yake imekatika kama kwa ajali na kutoka damu umeipata wapi?
 
Eti hujafa haujaumbika, Mkuu unajua maana ya huo usemi? Usemi huo unamaana kama tu mhusika alizaliwa hana ulemavu akaja kupata ajari then akawa mlemavu
 
Mkuu niaminini mimi kuna tatzo linakusumbua.
 
Back
Top Bottom