hee ndo akaome na kihere here chake hata JK mwenyewe hamjui, imekula kwake huyo
Yaliyotokea pale ni kuwa mrembo alikuwa anajua kuwa akimtaja JK basi anachukua taji bila kujua kuwa watu wamechoka na CCM ya huyo huyo JK.Natumai JK amchukue kwenye msafara wake amsaidie kupiga kampeni
wadau...mlimuona huyu dada jinsi alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia jk..siku ya shindano la miss tanzania...!
I think angekuwa na akili angeweza kuibuka hata na taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
ni genevive mpangala
hee ndo akaome na kihere here chake hata JK mwenyewe hamjui, imekula kwake huyo
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala