Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Status
Not open for further replies.
Speed yako richaabra hairidhishi sijui tatizo liko wapi uwe unalike post kabla ya Ku comment
Au upo Na Shem hapo

DJ sepetu
 
Mtaji ulikuwa sana hadi kipindi cha mwaka 2015 nlikuwa na madraya 4 na kutoa ajira kwa mtu mmoja ila sasa kama kawaida ya waswahili palipo na riziki fitina ndipo mahali pake

Ushirikina ukaanza kujiinua yaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha umesema ushirikina je wewe hujawahi kwenda kwa mtaalamu?
Aidha kwa mapenz au kazi!?
Baada ya kugundua unarogwa umechukua hatua zip

DJ sepetu
 
Ukitaka ona haraka unaenda kwenye Uzi moja kwa moja saa ingine net

DJ sepetu
 
Haha umesema ushirikina je wewe hujawahi kwenda kwa mtaalamu?
Aidha kwa mapenz au kazi!?
Baada ya kugundua unarogwa umechukua hatua zip

DJ sepetu
Mambo ya wataalam kwa mtoto wa kizaramo ni kawaidaaa babuu

Mapenzi bila mtaalam hayaendi lazima umteke mme wa mtu hadi akifika kwake haioni nyumba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…