Mrembo Ulweso live interview on DJ sepetu show!

Sio kweli urembo hauishi kwa kuolewa au kuzaa,huyo unayemsema anaitwa banati
Namshangaa huyu kiumbe hivi urembo ungekuwa unapotea walio olewa na kuachika au kuzaa wangepata waume wengine sijui wawapi huyu mtu
 
Anachekesha
Tena sana unaweza kaa ktk kundi la single mabinti lakini mtu akakupoint mpaka unashangaa jamani mbona mabinti hao?
Jibu nimekuona wewe naye analeta za kijijini ukiolewa unaanza kunywa matapu tapu a.k mateka wima
 
Tena sana unaweza kaa ktk kundi la single mabinti lakini mtu akakupoint mpaka unashangaa jamani mbona mabinti hao?
Jibu nimekuona wewe naye analeta za kijijini ukiolewa unaanza kunywa matapu tapu a.k mateka wima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti hajui watu wanazeeka na urembo wao!
 
...mi nna sura ngumu na chachu;weka wewe 'mrembo' nikuthaminishe kama kweli!
Kama nani haswa maana tayari nilisha tathiminishwa na nikaonekana hakuna mwingine zaidi yangu
sasa hiyo tafiti yako utaipeleka wapi na ili iweje sasa mkuu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…