Mrembo usitoe mimba!!

Mrembo usitoe mimba!!

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Inahuzunisha sana kukatisha uhai Wa binadamu bila sababu za msingi

Hivi wakati Wa kwichikwichi hamkuona kuwa kuna matokeo!!

Jamani vijana wenzangu msitekeleze watoto kwani ni chanzo cha hili janga tukubali kuwalea watoto wetu tena tusikatae mimba tulee kwani kitanda hakizai haramu

Tukumbuke kuwa Mungu anatuona na Siku si nyingi tutatoa hesabu!

Wengine wanatoa na wengine wanafadhiri dhambi hii!!

Usimuhofie binadamu muogope Mungu tu!
Na kwanini ujiwekee DOA maisha yako yote
 
Ndo maana nmeacha kuomba
Papuch katkak ya mwez

Tangu niponee trh 16 January
Nashukuru nlivosiwa kuvaa makaratas
 
Naona unamuunga mkono bashite.hata mi pia naunga mkono.kutelekeza mtoto ni dhambi isiosameheka
 
Back
Top Bottom