Mrembo Victoria Maselle nyota wa Twiga Stars aliyevutia macho ya wengi baada ya kuripoti Kambini Morocco

Mrembo Victoria Maselle nyota wa Twiga Stars aliyevutia macho ya wengi baada ya kuripoti Kambini Morocco

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kwa muda mrefu sasa, wachezaji wa soka wa kike hapa Tanzania wamekuwa wakikumbana na maneno ya kashfa kuhusu muonekano wao, ambapo baadhi ya watu hudai kuwa wanajiweka kwa mtindo wa kiume, hali inayoondoa uhalisia wao kama wanawake. Hii siyo tu kwamba inaathiri kisaikolojia bali pia inapuuzia jitihada kubwa ambazo hawa wachezaji wanazifanya kupeperusha bendera ya nchi katika medani za soka.
Nyota wa Tanzania Victoria Maselle anaechezea timu ya Tophat GA Navy 06-07 (Marekani) amewasil...jpg
Pia, Soma:
+
Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Nyota wa Tanzania Victoria Maselle anaechezea timu ya Tophat GA Navy 06/07 nchini Marekani amewavutia wengi baada ya kuwasili kambini nchini Morocco kujiunga na timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” inayoendelea na maandalizi ya michezo miwili ya kirafiki kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Morocco na Senegal mwishoni mwa mwezi Twiga Stars.
Nyota wa Tanzania Victoria Maselle anaechezea timu ya Tophat GA Navy 06-07 (Marekani) amewasil...jpg

 
Safi sana. Nafarijika kuona mtz mwenzangu anapata exposure huko duniani kama hivi. I like her positivity.
 
Huwa nawashngaa sana wasichana wanaolazimisha kuonekana kama wanaume wakati wao kutoka na mazoezi na aina ya mchezo wanazocheza Wana fursa zaidi ya kuteka soko la urembo na kupata deal za matangazo
Waige mfano wa Victoria,Aisha Masaka na Precious Christopher hao wote ni warembo sana
 
Huwa nawashngaa sana wasichana wanaolazimisha kuonekana kama wanaume wakati wao kutoka na mazoezi na aina ya mchezo wanazocheza Wana fursa zaidi ya kuteka soko la urembo na kupata deal za matangazo
Waige mfano wa Victoria,Aisha Masaka na Precious Christopher hao wote ni warembo sana
Na wanaume wanaopenda kuonekana muonekano wa kike kuanzia akina Diamond,wanamuziki ,wacheza mpira wa Simba na yanga , nk unasemaje hilo?
 
Jamani wakuu kwa ushahidi nimemtafuta yule mbibi alikua anachezea Yanga mpaka nikampata huyu hapa
1000255179.jpg
 
Back
Top Bottom