malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Wakuu nauliza kwenu tena hivi Temeke hospital kuna kipimo cha MRI?
NIna mgonjwa wangu anaumwa kichwa sanaa hawezi kuongea Wala kutembea vizurI.
Alianza kuumwa kifua anakohoa sana mpaka damu akawa hawezi hata kula, baadae akaja kupoteza fahamu.
Tukamleta hapa Temeke kapimwa wanasema ana amoeba/minyoo,na madonda ya tumbo wampima kwa damu wanasema anayo.
Mpaka sasa ana wiki mbili hali yake bado sio nzuri.
Msaada wenu wa mawazo mgonjwa wangu atakua na ugonjwa gani hasa.
Vipi je ninaweza omba refaral nikapewa kwenda Muhimbili?
NIna mgonjwa wangu anaumwa kichwa sanaa hawezi kuongea Wala kutembea vizurI.
Alianza kuumwa kifua anakohoa sana mpaka damu akawa hawezi hata kula, baadae akaja kupoteza fahamu.
Tukamleta hapa Temeke kapimwa wanasema ana amoeba/minyoo,na madonda ya tumbo wampima kwa damu wanasema anayo.
Mpaka sasa ana wiki mbili hali yake bado sio nzuri.
Msaada wenu wa mawazo mgonjwa wangu atakua na ugonjwa gani hasa.
Vipi je ninaweza omba refaral nikapewa kwenda Muhimbili?