Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Najaribu kutafakari kwanza hiyo kunywa kwa mrija au chupa ndo kukoje..................Comrade Ngabu,
Hii soda ni real au ndo kama ya "mwanakijiji"?
Just a totally worthless, idiotic threadHappy friday mabibi na mabwana wa JF/MMU.
Nina swali la kizushi mwenzenu. Unapokunywa soda unapendelea kunywa kwa mrija au kwa chupa?
Comrade Ngabu,
Hii soda ni real au ndo kama ya "mwanakijiji"?
Just a totally worthless, idiotic thread
Comrade Ngabu,</p>
<p> </p>
<p>Hii soda ni real au ndo kama ya "mwanakijiji"?
Najaribu kutafakari kwanza hiyo kunywa kwa mrija au chupa ndo kukoje..................
Najaribu kutafakari kwanza hiyo kunywa kwa mrija au chupa ndo kukoje..................
Kweli King'asti.... hata hapa chini nimekusoma vemasoda ni soda tu babu, ilimradi ni kiburudisho! kama ukipenda kunywea kwenye kikombe cha plastic nadhani hata ile ya mwanakijiji utanywea hata kwenye kifuniko.
nice,big and elegant glass is my fav.shld be sparkling clean..
Oh ni hivi....kunywa kwa mrija ni unachukua mrija halafu unautumbukiza kwenye chupa au bilauri na kuanza kunyonya kimiminika kilichomo ndani yake.
Kunywa kwa chupa ni unafungua kisoda au kizibo halafu unaiweka chupa mdomo na kuanza kufyonza kilichomo ndani yake.
bado ni quiz!!! nitarudi badae!!!
Kweli King'asti.... hata hapa chini nimekusoma vema
hehehe, aspirin, sasa kuna glass kama jagi,hiyo hapana. ila nadhani kwenye maisha kila mtu ana-set trend ya maisha.ila saa ingine kupiga tarumbeta labda ina starehe yake?
Ewaaa.... raha ya tarumbeta ulimi unagusana na chupa....wacha kabisa, soda inakuwa tamu sana!