Mrisho Gambo acha kutamba maadui zako wakiamua kukupata ni mara moja tu!

Mrisho Gambo acha kutamba maadui zako wakiamua kukupata ni mara moja tu!

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Kwa mfano unavyopenda mara kwa mara kwenda kwa Rafiki yako mkubwa mwenye Media yake nyuma ya Kebby's Hotel Bamaga na jinsi ile njia ilivyo na Giza na Ukimya ule Wakikuamulia Watakukosa?

Nimeshangaa na Kusikitika kuona mahala fulani kwa Nyodo na Jeuri kabisa ukitamba na kusema kuwa hawakuwezi na hakuna wa Kukufanya lolote hata Mmoja wa Rafiki zako Wakubwa ni Mwenzao na Wamekutegeshea ili Mission iwe Possible na Wewe kwa kutokujua Unajimwambafai dhidi yao.

Endelea tu Kujiamini Kizembe sawa?
 
tunaweza kusema yuko sahihi ama hayuko sahihi, yeye ndio anajua zaidi,
 
Back
Top Bottom