Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wakuu heshima sana.
Leo niliamua kufanya tathmini yangu isiyozingatia vigezo wala kibali kutoka mamlaka husika.
Nimefanya mahojiano na makundi mbali mbali na sehemu tofauti tofauti katika viunga vya Jiji la Arusha lilotamalaki kwa uchafu na magenge yanayozua magari kupita kwa urahisi.
Ni hivi Gambo anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa waliokuwa washindani wake ndani ya CCM ambao wanafikiri chama kilishindwa kusimama katika haki na hasa suala la RUSHWA.
Wagombea wengi wameiona kamati kuu na Halmashauri kuu Taifa imeshindwa kusimamia misingi ya chama. Gambo alitumia muda mwingi katika nafasi ya RC kujijenga yeye binanafsi na si kujenga chama.
Bwana Gambo aliunda team yake ya ushindi huku akiwaengua viongozi rasmi wa chama.
Bwana Gambo alizoea kutumia madaraka ya RC kufanikisha mambo yake binafsi.Aliwanunua madiwani wa upinzani na wengine walipewa ahadi kusaidiwa kugombea ubunge ajabu alikuwa mtu wa kwanza kuchukua form ya kuwaacha Bwana Kalist wakishangaa.
Mgombea wa CHADEMA Bwana Goddess Lema sasa anaungwa mkono na wana CCM wengi tena bila kificho.
Leo niliamua kufanya tathmini yangu isiyozingatia vigezo wala kibali kutoka mamlaka husika.
Nimefanya mahojiano na makundi mbali mbali na sehemu tofauti tofauti katika viunga vya Jiji la Arusha lilotamalaki kwa uchafu na magenge yanayozua magari kupita kwa urahisi.
Ni hivi Gambo anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa waliokuwa washindani wake ndani ya CCM ambao wanafikiri chama kilishindwa kusimama katika haki na hasa suala la RUSHWA.
Wagombea wengi wameiona kamati kuu na Halmashauri kuu Taifa imeshindwa kusimamia misingi ya chama. Gambo alitumia muda mwingi katika nafasi ya RC kujijenga yeye binanafsi na si kujenga chama.
Bwana Gambo aliunda team yake ya ushindi huku akiwaengua viongozi rasmi wa chama.
Bwana Gambo alizoea kutumia madaraka ya RC kufanikisha mambo yake binafsi.Aliwanunua madiwani wa upinzani na wengine walipewa ahadi kusaidiwa kugombea ubunge ajabu alikuwa mtu wa kwanza kuchukua form ya kuwaacha Bwana Kalist wakishangaa.
Mgombea wa CHADEMA Bwana Goddess Lema sasa anaungwa mkono na wana CCM wengi tena bila kificho.