Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 447
- 712
Haliwezi kuwa ahera lileAngekuwa siyo mnafiki angeyasema yale alivyokuwa RC.
Mrisho gambo huo ubunge hauwezi ataweza uraisi?
Uraisi siyo kazi ndogo. Kuna jitu limeshazimiwa Betty ya moyo huko na sasa lipo akhera
Watu wako serious mkuu.Hivi cheo cha Urais mbona kina najisiwa hivi? Mara kuna dude litazomoka huko na kudai kuwa DAUDI ALBERT BASHITE nae anafaa kuwa presdaa mara Mnyeti hivi kweli mpo serious?
Ndiyo maishaNaona umeamua kutumia ID ya akiba baada ya kula umeme.
Hata Magufuli alianza hivihivi kutajwa tajwaHekaya za Etwenge.
Kigezo namba moja cha kuwa rais ni kuwa mzalendoAkili yako sjawahi kuielewa, hivi ndivyo vigezo vya kumfanya mtu kuwa Rais?
Wewe umejaza tope kichwani badala ya ubongo.Angekuwa siyo mnafiki angeyasema yale alivyokuwa RC.
Mrisho gambo huo ubunge hauwezi ataweza uraisi?
Uraisi siyo kazi ndogo. Kuna jitu limeshazimiwa Betty ya moyo huko na sasa lipo akhera
Wote hao wanafaaMlianza na Makonda Sasa mmehamia kwa Mrisho Gambo.
KabisaMrisho Rais?
Atakuwa Rais wa SimbaUnaionaje Arusha mkuu?
Huyo chizi amepewa ubunge na Magufuli..
Kuhusu urais labda wa kuzimu
Gambo ana visasi sn kama marehemuInasemekana mkurugenzi wa jiji alikuwa mwalimu wake pale IAA, kuna nini hapa??
Hata Arusha haiwezekani labda Kijenge Juu
Ila Tanzani tuna ma Rais wengi sana.. haishindikani kuwa mmoja ya hao ma raisUnapenda wanaume ovyo. Ile kichwa niyakuwa Rais [emoji81][emoji81][emoji81]