Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 May 27, 2021 #21 Omulasil said: Huyu hana Moral authority kusema haya. Ni juzi tu alikuwa anapiga mapambio Click to expand... Dikteta angekuwa hai wala asingesema hayo
Omulasil said: Huyu hana Moral authority kusema haya. Ni juzi tu alikuwa anapiga mapambio Click to expand... Dikteta angekuwa hai wala asingesema hayo
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 May 27, 2021 #22 Niza doyi said: Alikuwa na dharau sana maana hata mawaziri hakuwasikiliza,akina prof.Magembe. ilikuwa ngumu sana kutoboa ndo maana hata sasa analia kuchezewa rafu na viongozi wa mkoa. Click to expand... Mbona Hapi na Chalamila wamebaki? CCM ni ile ile
Niza doyi said: Alikuwa na dharau sana maana hata mawaziri hakuwasikiliza,akina prof.Magembe. ilikuwa ngumu sana kutoboa ndo maana hata sasa analia kuchezewa rafu na viongozi wa mkoa. Click to expand... Mbona Hapi na Chalamila wamebaki? CCM ni ile ile
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 May 27, 2021 #23 kalonji said: mungu wao akifufuka atoamini walivyomgeuka Click to expand... mungu wao anaoza vizuri