Mrisho Mpoto ageuka mbogo, amdai Waziri wa Afya magari ya kubebea wagonjwa bila visingizio vya Covid ama vita vya Ukraine

Mrisho Mpoto ageuka mbogo, amdai Waziri wa Afya magari ya kubebea wagonjwa bila visingizio vya Covid ama vita vya Ukraine

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535


Msanii Mrisho Mpoto amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kutumia ukali kufikisha ujumbe kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu mbele ya Rais Samia na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kupokea Ripoti ya Utafiti wa Afya ya uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya kubebea wagonjwa.

Msanii huyo akitumbuiza amesema hataki kusikia stori za COVID ama vita ya Ukraine ndio vimesababisha kupokea magari pungufu bali stori pekee wanayotaka kuisikia ni kuwa magari yote yaliyokusudiwa yamefika.

Wageni waalikwa, inabidi mkae kwa umakini mkisikia Mrisho Mpoto yumo kwenye orodha ya watumbuizaji, naona ameshika kasi na hakuna wa kumzuia.
 
some people will come here and complain about this



to me the message is right "kama umeahid magari 900 leta magari 900"... attack the message not the messanger
 
Huyo sifa zinamponza

Ova
Watamkatia connection ya ulaji. Huwezi kumtolea hizo kauli Waziri halafu ikaishia hapo. Halafu kwenye wizara kuna watu wana nguvu kiasi kwamba hata Waziri anawahanya. Sasa hao watu ndo wanaweza kudili na huyo Mrisho.
 
View attachment 2796661

Msanii Mrisho Mpoto amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kutumia ukali kufikisha ujumbe kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu mbele ya Rais Samia na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kupokea Ripoti ya Utafiti wa Afya ya uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya kubebea wagonjwa.

Msanii huyo akitumbuiza amesema hataki kusikia stori za COVID ama vita ya Ukraine ndio vimesababisha kupokea magari pungufu bali stori pekee wanayotaka kuisikia ni kuwa magari yote yaliyokusudiwa yamefika.

Wageni waalikwa, inabidi mkae kwa umakini mkisikia Mrisho Mpoto yumo kwenye orodha ya watumbuizaji, naona ameshika kasi na hakuna wa kumzuia.
Kuwa mkweli, Mrisho Mpoto kaongea maneno yaliyowatowa machozi takriban wote kwenye hadhara na waliomsikiliza.
 
Huyo mganga wa kienyeji wasipo mdhibiti soon atatutukana na kutoa maneno machafu zaidi
 
Back
Top Bottom