Mrisho Mpoto ana kesi ya kujibu

Aiseee babaangu wa kenya ni ndugu zetu 2waache nao wafaidi mlima klm coz sisi 2meshindwa kuutangaza
 
Kama kweli alitamka hayo maneno basi hana tofauti na FISADI

Mkuu umenena, hili jamaa halina uchungu na nchi hii kabisa!! Serikali si wanamtumia sana katika mambo yao? Basi ni wakati serikali itafakari na kumpiga chini ili ahamie kwa hao wakenya. So cheap, this kind!!!?
 
Hahahaaa.... Wakenya kiboko! kipindi kile Babu wa Samunge alivyokuwa anatoa "dawa" yake, walitoa matangazo watalii washukie kwao kwa sababu yule babu yuko kenya.... inshort waliokuwa wakifika wanashukiakenya then wanasafirishwa mpaka kwa babu ilihali entrance fee zooote zinaishia kwao.
 
Jamani hilo lijitu limeathirika na njaa kwa kiasi kikubwa, halina uzalendo wala nini, haliwezi hata kutunga hayo mashairi yanayomtoa na sasa linavuna faida ya kutumia kichwa kufugia rasta. jinsi rasta zake zilivyoganda na akili zake vivyo hivyo. Mpoto naomba uvae nguo na viatu.
 
Umesahau Tambwe Hiza Alisema akirudi CCM amlale mama yake! na sasa yuko chama gani? pesa haina adabu!
 
Kili kwanza walimtosa tuzo wakampa Mpoki wa ze comedy so kiasi flan jamaa kamaind ndo mana katutosa wabofongo kua kili ipo Kenya kudadadek Holla Nigga Mpoto.....
Ila ni mkali wa mashairi.!!!!!
 


Uko sahihi mkuu tatizo la watu wengi ni kuwa huwa wanafanya mambo bila kujua matokeo yake,na hii ndio inasababisha hata viongozi wetu kusaini mikataba bila kujua kilichomo,na hata kama Mjomba hakujua kama ulivyosema hapo juu kilichoandikwa humo ndani basi ameonyesha udhaifu mkubwa kisanii kwa kusoma kikasuku bila kuelewa anasoma nini.Kama angekuwa anaelewa anachokisoma basi alipofikia kwenye sehemu yenye maelezo hayo angenyamaza na kuyasoma kimyakimya mpaka yanapoishia kisha akaendelea kwa sauti.Hawa majirani zetu wanafanya kila hila kutuhujumu na ndio sababu walishazawadiwa ndege kubwa ya Air bus kwa kuwa wauzaji wakubwa wa Tanzanite Duniani wakati kwao hakuna madini hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…