Na huyo mwenye tumbo kama pipa ndani ya nguo nyeusi ni nani?Wewe fikiria utembeee mwaka mzima peku na kusafiri peku nani anaweza hilo?
Mimi najuwa ili upate kibali kuna gharama za kulipia kibali hakiji hvhivi japo Kuna bahati pia.
View attachment 2973684
Hapa umemaliza kila kitu ndugu maana kuna watu wangeanza kuropoka na kubisha
Umemstukia eehKumbe ni muhuni tu
zamani nilimuona Kino anashuka kwenye mPrado wake amevaa sandals. muhuni huyuNdivyo alivyowadanganya?
Mwenzenu anavaa sendo! Akiona camera anavua anakaa peku
Nilimuonaga Boma kwa mkuu wa mkoa na Sendo zake hana habariiii
mpoto sio cha mambo yenu hayo. kutembea peku kuna faida za kiafya. hata nawe mara nyingine pendelea kutembea peku.Ni mambo ya ulimwengu wa roho, kuna tajiri mmoja nae anatembelea kanda mbili ambazo zimezeeka. Mafanikio mengine ni mateso. Kuna waliofanikiwa wanajutia walichofanya wanashindwa tu kusema.
😃😃 huyo muhuni tuUmemstukia eeh