Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mrisho Mpoto alianza enzi na mashairi yaliyomleta kwenye ramani akianza na lile la "Mpendwa mjomba, tumetengenishwa na ukuta..."
Watu wakamuelewa na namna yake ya kughani, wimbo wa mwisho wa aina hiyo ilikuwa Sizonje, baada ya hapo naona hali imekuwa tofuati.
Sidhani kama anaweza kukaa kusikiliza ngoma zake za wali kama anazo au alishazitupa.
Sipingi mabadiliko yake maana. Mbengo zemefongoka.
Watu wakamuelewa na namna yake ya kughani, wimbo wa mwisho wa aina hiyo ilikuwa Sizonje, baada ya hapo naona hali imekuwa tofuati.
Sidhani kama anaweza kukaa kusikiliza ngoma zake za wali kama anazo au alishazitupa.
Sipingi mabadiliko yake maana. Mbengo zemefongoka.