Mrisho Mpoto baada ya kupewa vidonge vyake aamua kuvaa viatu

mambomoto

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
326
Reaction score
236
Wadau siku za karibuni mtakumbuka kuwa Mrisho Mpoto alipewa za uso hapa jukwaani mara tu ya kutangaza nia ya kupambana na John Mnyika pale jimbo la ubungo 2015. Kweli nahisi huyu jamaa watu walikuwa wanamsubiri kwa hamu wampe vonge vyake na alivipata kweli. Sasa kaamua kuvaa viatu.

 
Hivi unafahamu kwamba maelezo yako hayajaeleweka ?
Unawahi wapi?
Kwanini usiandike kitu watu wakakuelewa badala ya kukurupuka namna hiii
ona sasa aibu gani hii unaleta hapa
 
Hivi unafahamu kwamba maelezo yako hayajaeleweka ?
Unawahi wapi?
Kwanini usiandike kitu watu wakakuelewa badala ya kukurupuka namna hiii
ona sasa aibu gani hii unaleta hapa

labda angalia hii utona tofauti

 
na sisi wasanii tumetajwa napiga kura ndio
 
SASA KWENYE VYOO VYETU HIVI VYA USWAHILINI ALIKUWA ANAINGIAJE? AU ALIKUWA ANATUMIA VIMFUKO VYA RAMBO? TEH TEH:sleepy::sleepy::sleepy:
 
hah kumbe naye anataka ubunge
 
Muelimishaji umma anapokwenda kinyume na anayoyahubiri!
 
Naona mama wa KICHAGAGGGAAA aaa anakata kiuuuuu na KILIMANJAROOOOOoo baaaariririiriddiiiiiiiii
 

me nahis amevaa kwa mashart ya PSPF anaowafanyia promo
 

huyo mshua wa kushoto hilo pozi lake.........
 
afanye hiyo anayoiweza sanaa, huko anjichanganya; nadhani washauri wake watamshauri vizuri
 
mambomoto naomba link ya hiyo post aliyopewa vidonge vyake
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa mimi mastaili yake naona hata hapendezi. Kuvaa magauni na kuweka minywele ya kusuka ndio nini sasa kwa mwanaume! Eti hua anapekua barabarani ndio utamaduni gani! Watu wa mbugani wamasai wanavaa viatu nya ngozi za wanyama na tairi za gari yeye hapa mjini anapekua huku vyoo dar vinatiririsha uchafu barabarani. Usanii kama fani someni jamani sio mnarukia tu na kujidai..
 
Kwa hiyo michango yetu PSPF ndio inaenda kulipa promotion za huyu talentless galasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…