Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
jamaa flan hivi mwenye misifaKwa muda mwingi nimekuwa ni shabiki wa kazi ambazo anafanya mrisho mpoto na nimekuwa najaribu kuzinyambua nyimbo zake ila leo nimehitaji kumjua kiundani zaidi huyu msanii anayefanya sana ya kughani mashairi ni nani (kiundani) nje ya sana anafanya kazi gani?
Msaada tafadhali.
Naomba nifafanulie kivipi yaani akawa mshirikina na ushirikina wake ni katika mambo gani pia kutokuvaa viatu ni maagano na mizimu yake kivipi yaani?Mshirikina mmoja anaetembea peku kwa masharti ya maagano na muzimu,ni mwimbaji wa mashairi mahiri.
Vipi kuhusu mbali na mziki anafanya nini maana nafatilia sana kazi zake ila sjawahi kujua uhalisia wa maisha yake.jamaa flan hivi mwenye misifa ya kijinga
Anashiriki kwenye kutengeneza matangazo ya PSPF na kuhimiza kuoanda moima KilimanjaroVipi kuhusu mbali na mziki anafanya nini maana nafatilia sana kazi zake ila sjawahi kujua uhalisia wa maisha yake.
Nini sababu ya yeye kutembea peku? Mbali na sana anafanya nini pia kama utaniambia kuhusu elimu yake si mbayaUwa ana tembea peku (yaan bila viatu) na kuvaa magunia
Of coz yeye anaita ni sanaa
Na kwa kufanya hivo huitwa sana Ulaya wazungu waka mshangae
Lakin ni mwana mziki mwenye mashair mazuri na yenye kuelimisha
Nashukuru kwa jibu asante sanaAnashiriki kwenye kutengeneza matangazo ya PSPF na kuhimiza kuoanda moima Kilimanjaro
Asili yake ni wapi kama utakuwa unaelewa kakani snitch,mtu-wa-tumbo...alitumika kutangaza kiswahili asili yake ni kenya! anavua viatu kwenye gari nakutembea peku kwenye public au interview...aliwahi sema kunaconnection ya mtoto kujisaidia katika ya miguu na kenyesi kugusa chini kuliko kwenye poti au choo...so huenda anajimali nje pia,sio toi! refer interview yake ya mkasi
ni mwakilishi wa nchi ya KENYA kwenye baraza la kiswahili la kimataifaKwa muda mwingi nimekuwa ni shabiki wa kazi ambazo anafanya mrisho mpoto na nimekuwa najaribu kuzinyambua nyimbo zake ila leo nimehitaji kumjua kiundani zaidi huyu msanii anayefanya sana ya kughani mashairi ni nani (kiundani) nje ya sana anafanya kazi gani?
Msaada tafadhali.
Ila kwa hilo la kuitangaza Kenya lilinifanya nimshushe vyeo vyoteni snitch,mtu-wa-tumbo...alitumika kutangaza kiswahili asili yake ni kenya! anavua viatu kwenye gari nakutembea peku kwenye public au interview...aliwahi sema kunaconnection ya mtoto kujisaidia katika ya miguu na kenyesi kugusa chini kuliko kwenye poti au choo...so huenda anajimali nje pia,sio toi! refer interview yake ya mkasi
Asante kwa taarifa kakani mtoto wa 36 kati ya watoto 36 wa mzee mpoto kutoka kwenye familia ya wake 12
asili yake ni mngoni na pia muimbaji Mwenye mashairi yaliyobeba Ujumbe mzito na wenye kuelimisha