eze06 Member Joined May 25, 2015 Posts 27 Reaction score 10 Feb 5, 2016 #1 Mjomba walau hata mstari mmoja tu nipatie maana yako "Sizonje" "..milango ipo wanapita madirishani..."
Mjomba walau hata mstari mmoja tu nipatie maana yako "Sizonje" "..milango ipo wanapita madirishani..."
samsun JF-Expert Member Joined Feb 9, 2014 Posts 7,386 Reaction score 5,965 Feb 5, 2016 #2 Huwa napenda mafumbo yake kwa jinsi alivyoyapangilia kiutamu japo sijawahi kuelewa na wala sijishughulishi kuelewa.
Huwa napenda mafumbo yake kwa jinsi alivyoyapangilia kiutamu japo sijawahi kuelewa na wala sijishughulishi kuelewa.
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Feb 5, 2016 #3 kwani mjomba amejiunga na jf...?
M mama yu Senior Member Joined Apr 24, 2012 Posts 143 Reaction score 42 Feb 5, 2016 #4 eze06 said: Mjomba walau hata mstari mmoja tu nipatie maana yako "Sizonje" "..milango ipo wanapita madirishani..." Click to expand... Nimeusikiliza huu wimbo...nadhan unazungumzia hali halisi ya maisha ya TZ au Africa.Watu hawapitii/hawatumii njia za halali kujipatia kipato.(milango ipo ,wanapita madirishani)
eze06 said: Mjomba walau hata mstari mmoja tu nipatie maana yako "Sizonje" "..milango ipo wanapita madirishani..." Click to expand... Nimeusikiliza huu wimbo...nadhan unazungumzia hali halisi ya maisha ya TZ au Africa.Watu hawapitii/hawatumii njia za halali kujipatia kipato.(milango ipo ,wanapita madirishani)