Mrisho Mpoto: Rufiji chini ya Mchengerwa kuwa Jiji

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Mjomba kasema Rufiji kuwa Jiji chini ya Mohamed Mchengerwa

==

Msanii na mwanaharakati maarufu, Mrisho Mpoto, amepongeza kasi ya maendeleo yanayofanyika katika Wilaya ya Rufiji chini ya uongozi wa Mbunge Mohamed Mchengerwa.

Akizungumza katika viwanja vya Ujamaa, Rufiji, wakati wa Tamasha la Bibi Titi Memorial Festival, Mpoto alieleza matumaini yake kuwa Rufiji ipo njiani kupandishwa hadhi na kuwa jiji.

Pia, Soma: Rais Samia aipandisha hadhi wilaya Rufiji kwenda kwenye hatua ya kuwa Mji

Alisisitiza kuwa juhudi za Mchengerwa zimeleta maendeleo makubwa si tu mjini Rufiji bali pia katika vijiji vinavyouzunguka, na kuzidi kufungua fursa za kiuchumi na kijamii kwa wakazi wa eneo hilo.
Your browser is not able to display this video.
 
Rufiji ipi?hii ikiyofurika chini ya hydro ya ml Nyerere au nyingine,ndio iwe jiji.kweli chizi naye Ntu.
 
Wewe mbumbumbu na Mrisho Mpoto wako wote ni ma mbumbumbu.
Hakuna mji unaitea Rufiji. Rufiji no wilaya yenye makao makuu Utete..
 
Tunaambiwa skanka ni kali zaidi kuliko kushabo. Mpoto huenda alivuta skanka imemzingua. Rufiji ni ya kuwa jiji chini ya mchengerwa? Ina maana mchengerwa atakuwa mbunge mpaka hapo rufiji itakapokuwa kubwa iwe manispaa halafu ipandishwe hadhi iwe jiji! ni leo basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ