Catholic sio Wakristo wao wana stand peke yao Taasisi kubwa.. and then usiwe unaandi katoriki hakuna RHaina maana....ni sawa na kuambiwa Faiza Foxy kapeana mkono na Pengo yule mkristu wa kikatoriki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una waongelea wakina nani hao wenye hasira naye?Mjomba atumie vizuri pesa alizopewa na chama maana uku kwenye sanaa asitegemee kupata matokeo chanya kwa kua tabaka la chini ambao ni wateja wa bidhaa yake wana hasira na kila anaekiunga mkono chama wanaamini kua ni adui yao,subiri utaona mapokeo ya huu wimbo bila kujali ubora wake.
Una waongelea wakina nani hao wenye hasira naye?
Tafsiri yako ikoje Mkuu?Ni tafsiri yako tuu
Narudia tena katoriki ili kama una hasira za kweli uongeze kiwango cha sumu....ufe mapema.Catholic sio Wakristo wao wana stand peke yao Taasisi kubwa.. and then usiwe unaandi katoriki hakuna R
Ukiona elimu ni ghali endelea na ujingaNarudia tena katoriki ili kama una hasira za kweli uongeze kiwango cha sumu....ufe mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena katoriki....ili upaniki zaidi ya hapo na ufe mapema.Ukiona elimu ni ghali endelea na ujinga