Mrisho mpoto

Sijajua kwanini wengi mnamsema ye mnafiki. Unafiki wake nini hasa?
 
Kuna mijitu.ina wivu sijapata kuona.. kama hamumkubali ni.ninyi na roho zenu..

Kaza buti mjomba
 
Binafsi napenda uandishi uliojificha kama wa Mpoto!

Sio watu wote wanamuelewa huyu jamaa, chukua muda kidogo kumsikiliza halafu tafakari, kama hujaelewa rejea tena na hatimae utapata utamu wa kulijua fumbo!
 
Binafsi napenda uandishi uliojificha kama wa Mpoto!

Sio watu wote wanamuelewa huyu jamaa, chukua muda kidogo kumsikiliza halafu tafakari, kama hujaelewa rejea tena na hatimae utapata utamu wa kulijua fumbo!

watu wanakazi nyingi sana mkuu, utakaa unasikiliza nyimbo moja mara kumi kupata idea?? awe straight bwana
 
Sijajua kwanini wengi mnamsema ye mnafiki. Unafiki wake nini hasa?

ukistahajabu ya mussa utayaona ya firauni,gwiji la kiswahili nchin nd. mrisho mpoto alienda kuiwakilisha kenya kwenye tamasha la kiswahili,dili hilo alipewa na taasisi ya kiswahili kenya,kenya wenyewe walikiri kwamba kiswahili hawakiwezi vizuri kwhyo ikabdi wamtafute mrisho akawawakilishe kwa masharti ya kujitambulisha kwamba yeye ni mkenya na si mtanzania.

Source:EA RADIO-LIVE INTERVIEW​


 
Duh....Yaani mjomba akiingia huku anaweza kususia msosi wiki nzima kumbe wala....usitishike sana kaka humu ndani tunarusiwa kuwa na ID hata mia moja na kwa bahati mbaya wengi humu ni babavichaa group unapogusa masilahi yao tu wanaingia kazini, wana mitusi utadhani wana phd za kutukana na kudhalilisha, kama wanavyomfanyia TID wa watu masikini. ni mtu kama mbili tatu hivi ndio wanawazengua msishituke saaana.
 
Mnafiki na mzandiki mkubwa..anatafuta kula,tambo nyingi sana..nilikuwa namkubali lakin siku ile alivyotoa speech kwa wanafunzi wa vyuo vikuu..niligundua jamaa ana matatizo makubwa..huwezi kututambia kuwa wewe umekwenda ulaya kupita mtanzania yeyote..aliyemwambia kuwa kwenda ulaya sana ndo kujua mengi kamdanganya..kibaraka wa clouds.
 
HUYU JAMAA ANA AKILI NYINGIIII SIJAPATA KUONA!
Mpeni sifa zake angali hai, aongeze bidii cuz akifa mtaongea sana na kuwish angekuwa hai.
mtunzi yeyote atanielewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…