Natamani hizo hela mngewapa hata watoto yatima mngepata twawabu kwa Mungu. Ngassa ni mtu mzima na anawajibika kwa mambo yake ikiwamo madeni. Alichukua mkopo kwa shida zake na kulipa ni wajibu wake! Tusiwe na tabia ya kuendekeza kutowajibika.
naomba kujuzwa huyu dogo ana deni gani linamzonga?
Hatulipi deni la Ngassa bali tunalipia furaha. Kama kwa kumsaidia Ngassa kulipa deni lake kutasababisha aifungie Yanga mabao uwanjani basi tuko tayari kulipa deni maana tutakuwa tunaondokana na fedheha ya kufungwa na Mtibwa, polisi, mgambo, n.k. Hata wazungu ni hodari sana wa kulipia furaha, ndo maana club zinamwaga mapesa mengi kusajili wachezaji ghari duniani. Wakati sisi tunalipia deni la Ngassa acheze vizuri mpira wewe, Simba na Azam nendeni kalipieni mayatima ili mpate twawabu, tukimaliza deni tuta wa-join kwenye ibada hiyo.
Hatulipi deni la Ngassa bali tunalipia furaha. Kama kwa kumsaidia Ngassa kulipa deni lake kutasababisha aifungie Yanga mabao uwanjani basi tuko tayari kulipa deni maana tutakuwa tunaondokana na fedheha ya kufungwa na Mtibwa, polisi, mgambo, n.k. Hata wazungu ni hodari sana wa kulipia furaha, ndo maana club zinamwaga mapesa mengi kusajili wachezaji ghari duniani. Wakati sisi tunalipia deni la Ngassa acheze vizuri mpira wewe, Simba na Azam nendeni kalipieni mayatima ili mpate twawabu, tukimaliza deni tuta wa-join kwenye ibada hiyo.
Alichukuwa Simba sh. 30 mil ili kuichezea Simba badala yake akaikacha na kwenda kusaini Yanga ambayo inaichezea hadi sasa na kufunga mabao 2 dhidi ya Mtibwa juzi na kuifanya Yanga kuongoza ligi. hivyo akapigwa na riba ya sh. 10 milioni na kusababisha deni kuwa sh. 40 milioni. Sijui kashalipa kiasi gani hadi sasa. Kama kuna deni lingine anayelifahamu atatujuza hapa.
cOmpLicateD, hata hivyo kama Ngassa ana uwezo wa kutupa raha wana Yanga tusaidie tu, maana hata OKWI mganda anahomola mapesa ya watanzania na bado anasumbua kinoma, pamoja na hayo bado OKWI yumo tu kwenye first eleven ya timu zetu kutokana na uwezo wake miguuni, sembuse huyu mtanzania mwenzetu aliyeiwezesha yanga kuongoza ligi japo inaweza kuwa ni kwa muda. Mchezaji mwenye psychological problems na frustrations hawezi kucheza mpira kwa kiwango chakeSasa Mkuu deni la Simba litaihusu nini benki? Wenzio wanaofahamu vizuri wanasema alikopa fedha benki ya crdb na Yanga akawa mdhamini wake kwa makubaliano kwamba mshahara utapitia benki ili wakate hela yao! Sasa uongozi uliopita haukutekeleza hilo kwa mwaka mzima, ndo benki imewafuatilia Yanga juzi nao ndo wakaanza kuupitisha mshahara huko! Haya ni kwa mujibu Wa Muro wakati anahojiwa na Mawingu FM!
Wenzio wanaofahamu vizuri wanasema alikopa fedha benki ya crdb na Yanga akawa mdhamini wake kwa makubaliano kwamba mshahara utapitia benki ili wakate hela yao! Sasa uongozi uliopita haukutekeleza hilo kwa mwaka mzima, ndo benki imewafuatilia Yanga juzi nao ndo wakaanza kuupitisha mshahara huko! Haya ni kwa mujibu Wa Muro wakati anahojiwa na Mawingu FM!
Sasa Mkuu deni la Simba litaihusu nini benki? Wenzio wanaofahamu vizuri wanasema alikopa fedha benki ya crdb na Yanga akawa mdhamini wake kwa makubaliano kwamba mshahara utapitia benki ili wakate hela yao! Sasa uongozi uliopita haukutekeleza hilo kwa mwaka mzima, ndo benki imewafuatilia Yanga juzi nao ndo wakaanza kuupitisha mshahara huko! Haya ni kwa mujibu Wa Muro wakati anahojiwa na Mawingu FM!