Mrisho Ngasa fanya hivi

Ngasa akope mwenyewe kwa kwa shida zake tena za kujitakia alafu leo tumlipie utakua ujinga uliopitiliza.Hili ni fundisho wa wachezaji wengine wa kitanzania wenye akili kama za ngassa.
 
Jerry muro hana kosa huo ndio msimamo wa club.kwani angemaliza mkataba ule wa simba yangemkuta haya?michango ya wanachama isitumike kulippa deni la ngassa.
 
Reactions: tyc
Kwa hivyo tofauti inayopaswa kulipwa ni milioni kumi za riba tu, maana bila ya shaka milioni 30 alizochukua Simba zilimfika, hata kama alikwishazitumia, hata kama si kwa matumizi ya busara.
 
ishakua tabu yaani kutupia tugoli tuwili tu...hadi anapata coverage kwa media, na huyu msemaji wa Yanga ana akili kweli?

Dakika 7 magoli 2. Issue iko hiviiii. Kama akina kotinyo, sheremani, niyozima, twite na wenginge waliopewa nafasi na kocha ya kucheza dakika zote 83 hadi 90 za mchezo wa Yanga Vs Mtibwa wangekuwa wametumbukiza mabao kwenye nyavu za mtibwa siku ile deni la Ngassa lisingetuhusu kabisa na wala isingekuwa issue hapa leo. Lakini Ngasa ndiye aliethubutu kufanya kile mashabiki wa Yanga walichokuwa wanakizubiri kwenye akili na nyoyo zao. Kama kwa kumlipia Ngasa deni lake kutasababisha afanye vizuri uwanjani lazima tumsaidie deni lake hata kama deni hilo ni la kipumbavu kabisa. Wako wachezaji kama OKWI, Surelez, Baloteli, Terry ambao wanafanya makosa ya kipumbavu lakini klabu zao zinayavumilia na kuwasaidia pamoja na kwamba wanalipwa fedha kibao. Kwani Ngassa analipwa hela ngapi hata watu waone ajabu kukopa au kupokea hela za Simba? hii ni kuonyesha kuwa Ngassa anatamani maisha mazuri kwa kazi yake ila anapewa hela kiduchu pamoja na kazi kubwa anayoifanya ya kuwaburudisha mamilioni ya washabiki wa Yanga kwa kutumia nguvu na akili yake uwanjani. Ni lazima akope ili asomeshe, ajenge, ale na kujiandaa na maisha ya kustaafu soka. Deni huwa lina kera na mabenki yetu yanatoza riba kubwa sana ya mikopo, kila mtu aliyekopa benki akili yake itayumba kidogo wakati wa kurejesha. Sasa kwa bahati mbaya mpira wa miguu unahitaji mchezaji awe kiwanjani kwa 100% vinginevyo ni majanga tu. Kama ujuavyo klub zetu hizi hazina ma-psychologists na counselors wanaoweza kushuhulikia afya za akili za wachezaji wetu kikamilifu, hivyo kama mchezaji atapatwa na kajambo kadogo kataadhiri uchezaji wake.
 
Walisema at a bible na alaaniwe amtegemeaye binadamu unachukuahela utegemee kusaidiwa mbona kwenyematumizi amkutumiawote shme ngassa kamavipi chapalapa
 
Huyu Ngasa aachwe, hakuna cha kumsaidia wala nini. Wapuuzi kama hawa ni kuwaacha mpaka walie machozi ya damu. Alipata dili zuri El-merreikh ya Sudan USD 4.5ml as a monthly salary, kakadengua, kakazima simu eti ili kacheze Yanga kisa mapenzi kwa timu kakakubali 2ml monthly salary. Sasa hivi eti kanajuta.
Mwacheni avune alichopanda ili iwe ifundisho kwa tz young players wajao!!!
 
Labda kenyewe kalifikri kamewaliza Yanga au Benki!!

wewe utakuwa mshabiki wa Mtibwa sugar, Yanga hakuna mshabiki mwenye akili kama hii ya kwako.
 

Kwavyovyote vile wewe una dalili zote kuwa ni mshabiki wa Simba, kaa pembeni bana, subiri kushuka daraja pale OKWI atakapoanza vitimbi vyake. Maana akili za wana-simba wote ziko kwa OKWI na se-lukuma.
 
Nitumie pm nami kama shabiki wa yanga nikutumie mchango wangu ili uendelee kunifurahisha kwenye mechi zijazo.
 
Kwavyovyote vile wewe una dalili zote kuwa ni mshabiki wa Simba, kaa pembeni bana, subiri kushuka daraja pale OKWI atakapoanza vitimbi vyake. Maana akili za wana-simba wote ziko kwa OKWI na se-lukuma.


penye ukweli tuzungumze, haka ka mtu kanakumbuka shuka kumekucha, eti mkataba wangu ukiisha jangwani sintosaini ntatafuta timu nje ya nchi.
Jangwani mnaongoza kwakuwa na players mandondocha, hawajielewi, hawana focus!!!
 

Huo mshahara mkuu sidhani hata Messi kama anaupata kwa mwezi!! Ni hela kubwa mkuu! El-Merreikh hawana hela ya kumwaga kiasi hicho!!
 
Huo mshahara mkuu sidhani hata Messi kama anaupata kwa mwezi!! Ni hela kubwa mkuu! El-Merreikh hawana hela ya kumwaga kiasi hicho!!
Hizo hela kama kijiji chenu kina familia 100 unaweza ukaamua kila familia ijenge boma la vyumba vitatu na sebule na wewe ukamalizia kupaua na finishing zingine.
 
Hizo hela kama kijiji chenu kina familia 100 unaweza ukaamua kila familia ijenge boma la vyumba vitatu na sebule na wewe ukamalizia kupaua na finishing zingine.
Umeona mkuu eeeeh? Tujamaa twingine huwa tunakurupuka tu bila kutafakari, eti $4.5million kwa mwezi! Labda dola ya Zimbabwe nilikuwa sijamwelewa?
 
penye ukweli tuzungumze, haka ka mtu kanakumbuka shuka kumekucha, eti mkataba wangu ukiisha jangwani sintosaini ntatafuta timu nje ya nchi.
Jangwani mnaongoza kwakuwa na players mandondocha, hawajielewi, hawana focus!!!

Wewe unashangaa nini Ngassa kuwa na mapenzi na club ya Yanga? Huyu anaungana na wachezaji kama akina Julio, Giggs, Terry, Thiery Henry, Kibadeni, Mkwasa, n.k. Julio hata kama akifukuzwa kama mbwa Simba, akiambiwa rudi kuokota mipira Simba atarudi bila masharti yoyote. Pesa haiwezi kununua furaha, Ngassa anapata furaha kwa kuichezea Yanga, ni jukumu la wana-Yanga kulitambua hilo kuwa Ngassa ni mtoto wa Yanga kama walivyo Mkwasa, Julio, Giggs, Kidaden, Minziro, Terry, Henry, n.k. kwenye timu zao. Al-merikh ndo nini? El-merikh hawataki wachezaji wafupi kama Ngassa angekwenda kusugua benchi kule bora hakwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…