Mrisho Ngassa amevunja mkataba na Free State sasa ni mchezaji huru

Hayo mazungumzo yalikuwa katika lugha gani?,samahani lakini...
 
Ngasa jipu la michezo bhanaaa amezoea get collection kwa wenzetu hakuna
 
Anarudi yanga huyo, kwa wacheza bao wenzake
 
Kichwa kimejaa papuchi, bangi, viloba, umri mkubwa, sifa za kijinga, mwili mdogo, shule hakuna, mapenzi na yanga bado tumsumbue sir God kuombea kifurushi kama hicho, NEVER
 
Hahah teh teh teh acha nipite nikachek mazoezi "we mbayaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…