barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,880
View attachment 251238
Club ya Free State inayoshikilia nafasi ya tisa ktk ligi ya nchini Afrika Kusini tayari imemsajili Mrisho Khalfani Ngassa kwa mkataba wa miaka minne kkt kuitumikia timu hiyo.
Akiongea baada ya kukabidhiwa jezi ya team hiyo Mrisho Ngassa amesema "Sasa nimejiandaa kwa maisha mapya,baada ya kucheza ligi ya nyumbani Tanzania kwa muda mrefu.Nitajitahidi kuitumikia timu yangu ili kutangaza jina la Tanzania nje ya mipaka ya nchi,na ili timu za Afrika Kusini zifikirie tena kusajili wachezaji kutoka Tanzania na kukuza soka la nyumbani"
Naye kocha wa FS Mmalawi Kannah Phiri amesema, alimfahamu Ngassa kwa muda mrefu na kuvutiwa na soka lake zuri,imekuwa ni furaha kwake kukutana na kufanya kazi na kijana huyo ktk Club ya Free State
Club ya Free State inayoshikilia nafasi ya tisa ktk ligi ya nchini Afrika Kusini tayari imemsajili Mrisho Khalfani Ngassa kwa mkataba wa miaka minne kkt kuitumikia timu hiyo.
Akiongea baada ya kukabidhiwa jezi ya team hiyo Mrisho Ngassa amesema "Sasa nimejiandaa kwa maisha mapya,baada ya kucheza ligi ya nyumbani Tanzania kwa muda mrefu.Nitajitahidi kuitumikia timu yangu ili kutangaza jina la Tanzania nje ya mipaka ya nchi,na ili timu za Afrika Kusini zifikirie tena kusajili wachezaji kutoka Tanzania na kukuza soka la nyumbani"
Naye kocha wa FS Mmalawi Kannah Phiri amesema, alimfahamu Ngassa kwa muda mrefu na kuvutiwa na soka lake zuri,imekuwa ni furaha kwake kukutana na kufanya kazi na kijana huyo ktk Club ya Free State