Mrithi kagoma kutoa picha

prenge

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
218
Reaction score
277
Utaratibu ukoje nini hatua za kuchukua ili haki itendeke
 
Picha ya nini, na ina mahusiano nini na mrithi...kama kagoma kutoa picha kuna athari gani maana yeye ndio mrithi...TIRIRIKA MKUU WADAU WATOE MCHANGO
 
Picha ya nini, na ina mahusiano nini na mrithi...kama kagoma kutoa picha kuna athari gani maana yeye ndio mrithi...TIRIRIKA MKUU WADAU WATOE MCHANGO
Ni kweli cijafanunua! Iko hivi Katika process za mirathi mahakamani kuna form zinajazwa na kila mrithi anatakiwa kutoa picha4 so katika warithi wa4 ,mmoja kagoma kutoa picha na hoja yake HATAKI tu basi hana reazon nyingine na ameapa mahakamani na hana shida wala pingamizi na msimamizi wa mirathi so utaratibu ukoje hapo...cz kila kitu kimesimama ni mwezi sasa hivi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…