Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Wanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Mwenyekiti akiwa Sugu tutamkumbuka sana Mbowe....... maana mtego wa mangi ni pesa tu!Wanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Acha unafiki mtatumia kila aina ya vitisho mbowe hafi jela atatokaWanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Huyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...Matiko.
Hata mimi namuunga mkono kamanda Lazaro Nyalandu. Pipooz!Nyalandu-4-Chairman.
Piiiiiiiiiiiiiiiiiiiipooooooooooooozzz Shower!!!!!
Furaha yako kwenye hili inatokana na nini ?nimeisikiliza press release hiikuna kila dalili Katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena. Tumeitwa wanachama wa chadema Mahakamani, tukasikilize na kuona wenyewe.
Nyalandu anafaa kuwa mwenyekitiFuraha yako kwenye hili inatokana na nini ?
Aisee una akili nyingi sana eti yaani mbowe kakaijenga chama kwa kukikopesha fedha zake binafsi akose gari LA kutembelea kweli au unamfanaisha na yule balozi wa Sweden aliyeolewa na kaisike ka pale nshambya mulebaHuyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...
Akili zako sawa na na za waugua. Ukoma haponddmaWanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Wanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
unasumbuliwa na ugonjwa wa umaskini wa akili na fikra!Huyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...
Mbowe hana cha kupoteza labda huyo Mboe wako unayemjua..Huyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...
Hata mimi nimesikili press hii na sikuona kuwa "kuna kila dalili katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena." Je, unaweza kuweka hapa kauli yoyote inaweza kuwa hiyo "kila dalili"?nimeisikiliza press release hiikuna kila dalili Katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena. Tumeitwa wanachama wa chadema Mahakamani, tukasikilize na kuona wenyewe.
...sacrificed a lot......He sucrifised alot but he is still rich...