Tetesi: Mrithi wa Freeman Mbowe aanza kuandaliwa

Nelson Masaduki

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
346
Reaction score
380
Wanabodi,

Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.

Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.

Nelson,
Dodoma.
 

Watu wenye akili watajiuliza mbowe amekuwa mwenyekiti kwa miaka kama 13 au 14 hivi ila cheyo amekuwa mwenyekiti kwa mingi sana zaid ya mbowe lakin watu hawapigi kelele kuhusu cheyo wanapiga kelele kuhusu mbowe.sasa mwambie jiwe watz tunamjua ni kiongozi dikteta na asiejiamin na asie na uwezo wa kuongoza hata familia yake,mweleze kwamba we want him out of office
 
nimeisikiliza press release hii kuna kila dalili Katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena. Tumeitwa wanachama wa chadema Mahakamani, tukasikilize na kuona wenyewe.
 
Mwenyekiti akiwa Sugu tutamkumbuka sana Mbowe....... maana mtego wa mangi ni pesa tu!
 
Acha unafiki mtatumia kila aina ya vitisho mbowe hafi jela atatoka
 
Hii ilikuwa janjajanja ya Mkuya kumpotosha Mbowe waende kula bata Ulaya ili akirudi afungwe na mahakama hivyo kupelekea kuachia uenyekiti wa Chama.

Tangu enzi za kina Samson na Delila , Adam na Hawa ,mwanamke ana guvu nyingi za kuangusha mibuyu iliyishindikana..

Mbuyu walioushindwa akina Zito, Mwigamba ,Waitara hatimaye umeng'olewa na Mkuya !!
 
Huyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...
 
Aisee una akili nyingi sana eti yaani mbowe kakaijenga chama kwa kukikopesha fedha zake binafsi akose gari LA kutembelea kweli au unamfanaisha na yule balozi wa Sweden aliyeolewa na kaisike ka pale nshambya muleba
 
Akili zako sawa na na za waugua. Ukoma haponddma
 

Nilitegemea kupitia huu ' Uzi ' wako ningemuona huyo ' Mrithi ' wake Mbowe badala yake naona ' maluweluwe ' tupu!
 
unasumbuliwa na ugonjwa wa umaskini wa akili na fikra!
 
Mbowe hana cha kupoteza labda huyo Mboe wako unayemjua..

Mbowe was a rich kid who decided to side with the poor people fighting for their rights. He came from one of the most elite families since Nyerere's era.

He sacrificed alot but he is still rich hata bila kutegemea hivyo vyote ulivyovitaja..
 
nimeisikiliza press release hii kuna kila dalili Katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena. Tumeitwa wanachama wa chadema Mahakamani, tukasikilize na kuona wenyewe.
Hata mimi nimesikili press hii na sikuona kuwa "kuna kila dalili katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena." Je, unaweza kuweka hapa kauli yoyote inaweza kuwa hiyo "kila dalili"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…