Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Mkuya ndo nani sasa?Hii ilikuwa janjajanja ya Mkuya kumpotosha Mbowe waende kula bata Ulaya ili akirudi afungwe na mahakama hivyo kupelekea kuachia uenyekiti wa Chama.
Tangu enzi za kina Samson na Delila , Adam na Hawa ,mwanamke ana guvu nyingi za kuangusha mibuyu iliyishindikana..
Mbuyu walioushindwa akina Zito, Mwigamba ,Waitara hatimaye umeng'olewa na Mkuya !!
Mbowe kiboko ya CCM......Wanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Nilitegemea kupitia huu ' Uzi ' wako ningemuona huyo ' Mrithi ' wake Mbowe badala yake naona ' maluweluwe ' tupu!
Hata mimi nimesikiliza press hii na sikuona kuwa "kuna kila dalili katibu anajua Mbowe harejei kuongoza chama tena." Je, unaweza kuweka hapa kauli yoyote inaweza kuwa hiyo "kila dalili"?
Umeona, halafu sisiemu kule Membe ndo anakuwa mwenyekiti na mgombea uraisi 2020..Hata mimi namuunga mkono kamanda Lazaro Nyalandu. Pipooz!
umeambiwa mbowe ana njaa kiasi hicho?Huyo Matiko ni chambo tu! Hapo target ni Mboe! Pole zake Matiko yeye ni kenge aliyenaswa kwenye mtego wa mamba. Pole zaidi ziende kwa Mboe ambaye sasa ameingia kwenye 18 za Chichi Em! Bye bye uenyekiti. Mboe atarudi kutembelea Bajaj kama hana gari binafsi. Akipoteza uenyekiti, anapoteza kofia ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, definitely atapoteza usafiri wa serikali. Pia atapoteza usafiri wa mwenyekiti wa chama. Mboe finally his time is up. This episode is called, 'The rise and fall of Mboe'...
namshangaa anadhani mbowe ana njaa njaa MTU ana mkwanja mrefu hata kabla hajaingia kwenye siasaAisee una akili nyingi sana eti yaani mbowe kakaijenga chama kwa kukikopesha fedha zake binafsi akose gari LA kutembelea kweli au unamfanaisha na yule balozi wa Sweden aliyeolewa na kaisike ka pale nshambya muleba
Hata mimi namuunga mkono kamanda Lazaro Nyalandu. Pipooz!
Nyalandu-4-Chairman.
Piiiiiiiiiiiiiiiiiiiipooooooooooooozzz Shower!!!!!
Nelson huyo Mbowe akinyimwa dhamana anaenda kufa adi mrithi wake aandaliwe?Wanabodi,
Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga kushughulikia masuala ya masurufu ya Chama cha Chadema. Nadhani Mbowe ana nguvu sana katika Chadema hivyo kutokuwepo kwake kunaweza kuyumbisha chama kwa kiwango kikubwa.
Pamoja na kwamba wanaweza kukata rufaa, watabiri wanaona kuwa rufaa yake inaweza kutupwa endapo wakili Peter Kibatala hatawasilisha vielelezo vyenye mashiko kuchallenge maamuzi ya mahakama ya chini kuhusu dhamana ya Mbowe na Matiko.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Nelson,
Dodoma.
Asante kwa masahihisho...sacrificed a lot...
Dada nakuonea huruma!Jiwe kichaa ni mshamba
Ni kweli Mbowe hana njaa kila mtu anajua lakini amekua ni mtu anayeyumbisha nchi kwa maslahi yake binafsi.namshangaa anadhani mbowe ana njaa njaa MTU ana mkwanja mrefu hata kabla hajaingia kwenye siasa
Hii ilikuwa janjajanja ya Mkuya kumpotosha Mbowe waende kula bata Ulaya ili akirudi afungwe na mahakama hivyo kupelekea kuachia uenyekiti wa Chama.
Tangu enzi za kina Samson na Delila , Adam na Hawa ,mwanamke ana guvu nyingi za kuangusha mibuyu iliyishindikana..
Mbuyu walioushindwa akina Zito, Mwigamba ,Waitara hatimaye umeng'olewa na Mkuya !!
Mbowe kiboko ya CCM......
Chama cha mboga mboga wamefanya fitna zote Mbowe aondoke kwenye uenyekiti ikashindikana, wakampeleka mahakamani wanaona chuma kipo tu, sasa wamekuja na kiroja kinachoitwa mswada wa sheria ya vyama vya siasa 2018, yoote ni kumtafuta mtu mmoja tu anayewanyima usingizi, Mbowe. Sasa wanakuja na maagizo kwa mahakama wamfunge tu hata kama hana hatia. Yaani ni sawa na watu wanamuwinda simba msituni wanafeli, na baada ya jitihada zao kugonga mwamba wanaamua kuuchoma msitu kusudi wakose wote. Huu ndio ukomo wa jiwe et al wa kufikiri....
Ni kweli Mbowe hana njaa kila mtu anajua lakini amekua ni mtu anayeyumbisha nchi kwa maslahi yake binafsi.
Mbowe hayupo kwa ajili ya maslahi ya watanzania wote wa makabila 125 .
Na Mbowe hajawahi kuwapigania watanzania ndio maana amekua siku zote ni mjanja wa kufanya matukio ya kijanja kijanja kupitia migongo ya watu maarufu waliopo ndani ya Chama hicho.
Watu walifikiri kuwa ni Chama cha Siasa kwa ajili ya watanzania lakini Mbowe ameionyesha sura halisi ya Chadema kuwa ni Chama chake binafsi kwa malengo yake binafsi .
Lema..hawezi kupewa wakujaHata mimi namuunga mkono kamanda Lazaro Nyalandu. Pipooz!
Ngoja akalale karibu na mtondoo kwanza ili akili yake ikae vizuri.Huyu Mbowe kwani alikutia mimba kisha akakutolea nje,mbona povu sana juu yake?