Kama limerithi garasha hata maombi yanadunda🤪Kama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]
Mwenda jana kapiga namba 3, pengine unamaanisha mrithi wa Mohamed Zimbwe Tshabalala? Maana Kapombe hucheza Namba 2 na alikuwapoKama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]
Hata Mimi nimeshangaa, shabalala akija apumzikeMwenda jana kapiga namba 3, pengine unamaanisha mrithi wa Mohamed Zimbwe Tshabalala? Maana Kapombe hucheza Namba 2 na alikuwapo
Kama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]
Hafai huyo dogo.Yuko slow na anachelewa kutoa maamuziMwenda yuko hivyo hajawahi shuka kiwango, Mwenda alikuwa anaitwa stars hata kabla ya kuja simba. Mpira anaujua na kipindi cha mgunda alipendelea kumpanga kuliko kapombe. Ni mapenzi ya kocha tu kumpanga au kutompanga ila Mwenda ni mchezaji wa hali ya juu kwa ligi ya Tanzania
Huyo sio wa kumwamini 90%Kama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]
Hujui mpira kaa kimya soma tu kwa magwijiHafai huyo dogo.Yuko slow na anachelewa kutoa maamuzi
YNWA hapo kwa Trent Alexander Arnold.Kapombe apewe heshima yake, inaonekana ni vile tumemchoka ila Sijaona Beki wa kupiga yale makrosi kama kapombe kudadekii huyu Kapombe ni Trent Alexander Arnold mtupu
Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
Sawa!Kama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]
mwenda mtoto wa mwanza baba yake ni osoroKama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka.
Mwenda[emoji123]