Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Apewe nafasi kwanza , asibezwe .Huyu mzee anaitegemea Yanga kuishi. Siamini kuwa anaweza kuchangia hata kununua pair 12 za socks kwa wachezaji angalau msimu mmoja achilia mbali misimu miwili mfulululizo.
Apewe nafasi kwanza , asibezwe .
Yeye mwenyewe anajua kutumia kompyuta kabla hajazisambaza kwenye matawi?
Hatuwezi kujua, dunia imejaa maajabu, anaweza kuwa na mikakati ya kuigeuza Yanga ikawa timu bora kabisa.
hahaha!
Hana hata thumniuyu mzee ana helaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kila mgogoro uliowahi kutokea Yanga tangu nikiwa mdogo kati ya majina ya wahusika jina lake huwa halikosekani. Same na Dalali kwa Simba (sijui huyo mzee yupo hai!?!)
Alikuwa wapi siku zote asifanye anayoyaahidi leo? Anaganga njaa tu huyo.
Kila mgogoro unapotekea yanga...moja ya waanzalishi haumkosi. Kosa kubwa yanga watakalo kuja kujutia ni kumpa huyu nafasi ya mwenyekit
Mkuu huyu mzee hapati hata uokota mipira... Kwanza ameonesha kuanza kugombea nafasi mapema kwa kumpinga wazi Manji.... Amalee vijana nyumbani... Tunguli hazibambi kwenye kuraKila mgogoro unapotekea yanga...moja ya waanzalishi haumkosi. Kosa kubwa yanga watakalo kuja kujutia ni kumpa huyu nafasi ya mwenyekit
Ameahidi kuiendesha Yanga Kisasa , hakuna mambo ya uchawiLabda akaroge ili simba tukione kama walivyofanya kwenye DSM Derby iliyopita