Msaa wa kutengeneza simu.

makaomakuu

Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
46
Reaction score
4
Wakuu na wataalamu wa kutengeneza simu naomba msaada wenu.
Kuna ndugu yangu aliletewa simu aina ya Sam sung ch@t 3222 toka nje ya Tanzania(Nchi za Asia)...simu hizo hazikamati mitandao ya Tanzania hasa VODACOM.
Alijaribu kuzipeleka kwa Mafundi pale mtaa wa Uhuru zaidi ya mara moja lakini naona tatizo bado liko pale pale.
Wakuu kama kuna fundi unamjua kuwa ni mzuri wa kuziweka sawa hizo simu naomba nisaidiwe mahala ofisi zake zilipo na number zake za simu kama inawezekana.
 
jaribu hizo code

TEMPORARY UNLOCK:
Put a non-accepted SIM Card and turn it on. Type *#9998*3323#. Press Exit. You will get a new menu. Select Malloc Fail.

In newer phones:
#*7337#
 
jaribu hizo code

TEMPORARY UNLOCK:
Put a non-accepted SIM Card and turn it on. Type *#9998*3323#. Press Exit. You will get a new menu. Select Malloc Fail.

In newer phones:
#*7337#
Mkuu hizo simu zinapiga kazi ila ikifika jioni mtandao wa voda unakuwa haukamati kabisa ila sio kwamba ziko locked.hapana haziko locked..kama nimekulewa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…