Msaa wa Malipo kwa Paypal

G12

Senior Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
156
Reaction score
51
Benki gani nchini Tanzania inatoa card inayoweza kuwa integrated kwenye kufanya malipo kwa njia paypal?
 
Hii ilishaongelewa sana humu kuna majibu yake jaribu ku search utapata majibu
 
Benki gani nchini Tanzania inatoa card inayoweza kuwa integrated kwenye kufanya malipo kwa njia paypal?

Visa card au master, kama Unayo hio unaweza kujiunga na paypal, katika paypal utahitajika kuingiza au register your bank details account, au unaweza kuhamisha salio lako kutoka kwenye account to paypal moja kwa moja.
Inahitajika kuufahamu huo mtandao wa paypal.
Jengine kabla hujafanya malipo kwa bidhaa Unayo lipia, soma description ya post kama wanatuma international.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…