beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 524
jaman mwenye idea na suala la mtu mwenye uso wa mafuta apake nin coz mafuta haiwezekani, glycerin hapana hebu funguken wataalam. Halafu jamani mi ngozi yangu inachubuka hivi sijui kipupwe maana situmii kipodoz chochote mie .