NoFvcknName
Member
- Oct 21, 2021
- 6
- 8
Asante mkuuKwakifupi tutorial huwaga hawana eneo maalum lakutoa maswali ,bali hutegemeana na mahitaji chauo usika, unaweza ukasoma networks afu wakatoa. Kwenye microsoft,au data base koo chakufanya wewe bitia module zote ujue basic kwakila module
Maswali yanayoulizwa mara nyingi uhusiana na maarifa ya kitaaluma, ujuzi wa ufundishaji, na masuala ya kitaasisi.Interview za Tutorial Assistant kada ya Computer Science.
Kwa anayejua au kumbuka maswali yanayoulizwa (written/oral) naomba aweke nondo humu, tafadhali.