Kiwa
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,102
- 907
wakuu naomba msaada. nimepita katika kijiwe kimoja nikasikia vijana wanabishana kuhusu mambo ya siasa. kimoja kati ya walichokuwa wanabishana ni kwamba hayati mwalimu nyerere alikuwa havai nguo za chama chake CCM.
waliponiona waliomba maoni yangu kuhusu hilo.kiukweli binafsi katika kumbukumbu yangu sijawahi kuona.nimejaribu kutafuta nimekosa.
mwenye nayo ebu naomba atuwekee hapa ili hawa vijana wamalize ubishi wao.
asante.
waliponiona waliomba maoni yangu kuhusu hilo.kiukweli binafsi katika kumbukumbu yangu sijawahi kuona.nimejaribu kutafuta nimekosa.
mwenye nayo ebu naomba atuwekee hapa ili hawa vijana wamalize ubishi wao.
asante.
