Msaaada kwenye hili

Msaaada kwenye hili

mtoto wa mjomba

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
526
Reaction score
753
Habari za majukumu wakuu!
Ndugu yenu na changamoto Hapa,
Kwa mara ya kwanza jan nimegundua mtoto wangu wa kiume wa miaka minne hana korodani yani pale kwenye mfuko wake hapana kitu, nmevurugwa sana ndugu zangu, kwa yoyote aliewah skia au kukutana na changamoto hii je naweza pata utatuzi dogo akawa sawa? au hosptal ipi niende ntasaidiwa?
Samahan kwa uandishi mbaya!
Nahitaji msaada!
 
Mmh! Pole sana mkuu, au zitakuwa zimejichimbia ndani ndani huko?? 🤔
 
Mkuu hebu tulia kwanza. Tulia kabisa wala usipaniki.

Jipe muda jaribu kusoma soma hizo mambo. Kuna muda korodani huwa zinakuwa kwa ndani haswa kwa watoto

ILA LILILO KUBWA ZAIDI, KUBWA SANA NI MPELEKE MTOTO HOSPITALI.
 
Mbona huwa zinanywea zinakua kama taulo? Mm nikajua ni kawaida..
 
U
Habari za majukumu wakuu!
Ndugu yenu na changamoto Hapa,
Kwa mara ya kwanza jan nimegundua mtoto wangu wa kiume wa miaka minne hana korodani yani pale kwenye mfuko wake hapana kitu, nmevurugwa sana ndugu zangu, kwa yoyote aliewah skia au kukutana na changamoto hii je naweza pata utatuzi dogo akawa sawa? au hosptal ipi niende ntasaidiwa?
Samahan kwa uandishi mbaya!
Nahitaji msaada!
Umeona kuanzia asububi mpaka jioni??
 
Back
Top Bottom