msaaada wa haraka

jrharakati

Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
37
Reaction score
1
ivi kuna haki yoyote kuhusu Tra wakija kwenye makazi yako na kuchukua bidhaa na kuondoka nayo kisa haujakata leseni naombeni msaada kwa hilo
 
ivi kuna haki yoyote kuhusu Tra wakija kwenye makazi yako na kuchukua bidhaa na kuondoka nayo kisa haujakata leseni naombeni msaada kwa hilo

Kataaa uonevu, kataaa sisiemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…