Fast Forward
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 551
- 709
Habari za weekend wakuu, poleni na majukumu.
Naomba nitangulize tahadhari kwa asiyekuwa na wazo/mchango juu ya hili asicomment chochote au kutoa ushauri wa kubeza maana wengi hufikiria kila kitu ni masihara na porojo za vijiweni
Kuna mwanamke anasumbuliwa sana na suala la kutokula japokuwa ni mjamzito wa miezi 3 na wiki 1 ila hali ilipofikia sasa anaweza kukaa ata siku mbili hajala hii hali kwa kweli hata mimi imenishangaza kwa kawaida najua anaweza asile kutwa nzima lakini huyu ni siku mbili sasa hii imenishangaza kama kuna anayejua hili anifahamishe kwa muda huu japokuwa kesho anampango wa kwenda hospitali
Kwa mwanamke ambaye aliwahi kukumbana na hali hii kipindi cha ujauzito wake anifahamishe ata kwa pm tumsaidie huyu mwanamke mwenzenu maanà hali unapoendea sio nzuri na uzazi huu wa siku hizi mtu akijifungua salama ni jambo la kushukuru sana
Naomba nitangulize tahadhari kwa asiyekuwa na wazo/mchango juu ya hili asicomment chochote au kutoa ushauri wa kubeza maana wengi hufikiria kila kitu ni masihara na porojo za vijiweni
Kuna mwanamke anasumbuliwa sana na suala la kutokula japokuwa ni mjamzito wa miezi 3 na wiki 1 ila hali ilipofikia sasa anaweza kukaa ata siku mbili hajala hii hali kwa kweli hata mimi imenishangaza kwa kawaida najua anaweza asile kutwa nzima lakini huyu ni siku mbili sasa hii imenishangaza kama kuna anayejua hili anifahamishe kwa muda huu japokuwa kesho anampango wa kwenda hospitali
Kwa mwanamke ambaye aliwahi kukumbana na hali hii kipindi cha ujauzito wake anifahamishe ata kwa pm tumsaidie huyu mwanamke mwenzenu maanà hali unapoendea sio nzuri na uzazi huu wa siku hizi mtu akijifungua salama ni jambo la kushukuru sana