Nimemaliza kidato cha nne
mwaka jana na kupata 4 ya 26 art kutokana na maisha yangu naomba
mnishaur nisomee kitu gani ambacho kitakua na ajira baada tu ya kusoma
na si kukaa
nyumban....#maisha
yetu nshaur#
Nenda katafute vyuo vya afya hasa vya serikali,kwa mfano kile cha Maweni Kigoma.Naamini unaweza kupata chance ya kusoma hata certificate pale kwa point zako.
Nenda katafute vyuo vya afya hasa vya serikali,kwa mfano kile cha Maweni Kigoma.Naamini unaweza kupata chance ya kusoma hata certificate pale kwa point zako.
We mbona kilaza, sasa kuna udaktari gani wa sanaa?
C amexma amesoma arts vyuo vya afya havimfai myb aende teaching college...
Aaa,okay bana nimekupata.Afanye hivo of course.