Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu Habari.
Kuna gari hapa, Toyota Runx inasumbua kidogo AC. Hafu ndio mchezo wake kila baada ya miezi kadhaa.
Mara ya kwanza nilipeleka kwa fundi akasema hakuna leakage. Akajaza Gesi. Hapo AC utaanza kuiona ona kwa muda wa miezi kadhaa.
Ila muda ukienda inapungua nguvu. Unaanza kuweka Maximum. Upepo unatoka kwa nguvu tu ila hauna ubaridi.
Nikijaza tena gesi inakua afadhali ata ukiweka Low bado unasikia ubaridi. Ila muda ukienda (miezi minne hivi) tatizo linarudi tena.
Kwa ili joto la Dar ile hamu ya gari haipo sana. Esp mkiwa foreni na mchana.
Msaada hapo. Mafundi zaidi ya wawili wanasema leakage hamna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna gari hapa, Toyota Runx inasumbua kidogo AC. Hafu ndio mchezo wake kila baada ya miezi kadhaa.
Mara ya kwanza nilipeleka kwa fundi akasema hakuna leakage. Akajaza Gesi. Hapo AC utaanza kuiona ona kwa muda wa miezi kadhaa.
Ila muda ukienda inapungua nguvu. Unaanza kuweka Maximum. Upepo unatoka kwa nguvu tu ila hauna ubaridi.
Nikijaza tena gesi inakua afadhali ata ukiweka Low bado unasikia ubaridi. Ila muda ukienda (miezi minne hivi) tatizo linarudi tena.
Kwa ili joto la Dar ile hamu ya gari haipo sana. Esp mkiwa foreni na mchana.
Msaada hapo. Mafundi zaidi ya wawili wanasema leakage hamna.
Sent using Jamii Forums mobile app