Msaada: Ada ya diploma vyuo vya Serikali

Msaada: Ada ya diploma vyuo vya Serikali

Feiaidan

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
237
Reaction score
129
Wandugu naomba kwa anayefahamu ada ya mwaka kwa Diploma ya Ualimu kwenye vyuo vya serikali anifahamishe.
Asanteni.
 
kama unasoma masomo ya arts ada ni lak 4, science lak 6 kwa mwaka. ni hivo tu
 
Back
Top Bottom