Feiaidan JF-Expert Member Joined Jun 1, 2013 Posts 237 Reaction score 129 Oct 29, 2014 #1 Wandugu naomba kwa anayefahamu ada ya mwaka kwa Diploma ya Ualimu kwenye vyuo vya serikali anifahamishe. Asanteni.
Wandugu naomba kwa anayefahamu ada ya mwaka kwa Diploma ya Ualimu kwenye vyuo vya serikali anifahamishe. Asanteni.
V vickboy.com Member Joined Jul 29, 2013 Posts 85 Reaction score 23 Oct 30, 2014 #2 Feiaidan said: Wandugu naomba kwa anayefahamu ada ya mwaka kwa Diploma ya Ualimu kwenye vyuo vya serikali anifahamishe. Asanteni. Click to expand... Laki 6
Feiaidan said: Wandugu naomba kwa anayefahamu ada ya mwaka kwa Diploma ya Ualimu kwenye vyuo vya serikali anifahamishe. Asanteni. Click to expand... Laki 6
W WA KG Member Joined Sep 24, 2014 Posts 39 Reaction score 5 Nov 3, 2014 #3 kama unasoma masomo ya arts ada ni lak 4, science lak 6 kwa mwaka. ni hivo tu
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Nov 3, 2014 #4 CBE Ada ni Milion na kitu hivi.
Feiaidan JF-Expert Member Joined Jun 1, 2013 Posts 237 Reaction score 129 Nov 3, 2014 Thread starter #5 vickboy.com said: Laki 6 Click to expand... WA KG said: kama unasoma masomo ya arts ada ni lak 4, science lak 6 kwa mwaka. ni hivo tu Click to expand... Asanteni sana.
vickboy.com said: Laki 6 Click to expand... WA KG said: kama unasoma masomo ya arts ada ni lak 4, science lak 6 kwa mwaka. ni hivo tu Click to expand... Asanteni sana.